Jumapili, 4 Machi 2018

Fc Barcelona Wakaribia Ubingwa

Klabu ya Fc Barcelona Jana imeitandika Atletico Madrid kwa 1-0 goli lililofungwa na Mshambuliaji Lionel Messi.
  Kufuatia ushindi huo sasa Barcelona wanamzidi Point 8 Atletico Madrid ambae yuko nafasi ya Pili katika Ligi kuu ya Spain La Liga huku Mabingwa watetezi Real Madrid wakiwa nafasi ya 4.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni