Klabu ya Fc Barcelona Jana imeitandika Atletico Madrid kwa 1-0 goli lililofungwa na Mshambuliaji Lionel Messi.
Kufuatia ushindi huo sasa Barcelona wanamzidi Point 8 Atletico Madrid ambae yuko nafasi ya Pili katika Ligi kuu ya Spain La Liga huku Mabingwa watetezi Real Madrid wakiwa nafasi ya 4.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni